Walitembelea vituo viwili vya wahitaji kikiwemo {Jela/Mahabusu ya watoto na kituo cha kulea wazee wasiojiweza} Huko walitoa vitu mbalimbali vya kusaidia mfano chakula na Nguo......!
Kisha mwisho walihitimisha kwa kuungana na vijana wenzao wa mtaa wa Kana katika zoezi la kuchangia Damu.
Japo mwanzo kulikuwa na manyunyu ila hatukujali
Hapa kwaya ya Vijana mabawa ikitupatia wimbo,Ilikuwa Mahabusu ya watoto
kisha tukafika na Mabanda ya wazee wasiojiweza
Kutoka kulia kwako aliyesimama ni Paulo C.Mushi,Walichuchumaa ni Stela Paula,Elifadhi Wiliam,,,,Entuja William,Julius Kahema na Saimon John.
Hapa kwaya ya vijana Magomeni wakitupatia wimbo
No comments:
Post a Comment