Sabato ya Leo Tar 03 Oct 2015 imekuwa ni sabato ya pekee sana kwetu,kwani imekuwa ni Sabato ya kupanda mlimani. Tumepanda mlimani kuzungumza na Mungu wetu tukiongozwa na wachungaji Charles Mashambo na Michael Otieno...........! Mbali nakuwepo kwa program hiii ya maombi Ila poa kulikuwa program ya ugawaji vitabu kwa washiriki.
Vitabu vilivyogawanywa ni pamoja na Biblia na vijuzuu vingine vingi. Kisha program ya kutembelea kwa kengo la kushuhudia
.......!
Hakika ilikuwa ni Sabato y pekee san a kwetu. Aribu tujiunge pamoja Ibada ijayo.Ili kufika kanisani kwetu kmaa upo Tanga mjini basi panda hiace ziendazo donge kisha shu
kukia sokon makorora,uliza kwa hoda boda wajuelekeze mahali kanisa lilipo.
No comments:
Post a Comment